Classy Quote logo
  • Home
  • Categories
  • Authors
  • Topics
  • Who said

Shetani Quotes

Shetani quote from classy quote

Vita ya Shetani na Mungu inatuathiri zaidi sisi wanadamu – na hapo baadaye itamuathiri Shetani pia. Vita hii haiwezi kuisha hadi siku ya mwisho, Yesu Kristo atakaporudi kuwachukua wateule wake. Pambana kwa njia ya maombi hadi siku ya mwisho kwa sababu adui tunayepambana naye hana muda wa kupumzika. Pambana kujiombea na kuwaombea wengine waliohai, na hata wale ambao bado hawajazaliwa, kabla mafuta ya dunia hii hayajalipuka. Usiishi kama adui wa msalaba wa Yesu Kristo, badala yake, ishi kama rafiki wa msalaba wa Yesu Kristo. Kuishi kama rafiki wa msalaba wa Yesu Kristo ni kupinga majivuno yote ya Shetani kwa upendo uliotukuka wa kujishusha au kujidharirisha, kutokutetereka hata kidogo na tamaa za ulimwengu huu kwa upendo mkubwa wa umaskini, na kutokuyumba wakati wa matatizo kwa sababu wakati wa amani ulijilimbikizia imani.

~ Enock Maregesi

Enock Maregesi Adui Amani Battle Day Of Judgement Elects Enemy Faith Fight Friend God Humans Imani Jesus Christ Love Mafuta Ya Dunia Hii Majivuno Maombi Matatizo Msalaba Wa Yesu Kristo Mungu Needs Oil Of This World Pambana Peace Poverty Prayers Pride Rafiki Satan Shetani Siku Ya Mwisho Tamaa Za Ulimwengu Huu The Cross Of Jesus Christ The Desires Of This World Umaskini Upendo Vita Wanadamu Wateule Yesu Kristo

Pambana na Shetani kwa upanga wa imani ambao ni ukweli kwani ukweli ndiyo utakaokuweka huru.

~ Enock Maregesi

Enock Maregesi Faith Fight Free Huru Imani Pambana Satan Shetani Sword Truth Ukweli Upanga

Katika dunia ya leo ambapo mamilioni ya watu hutegemea utandawazi kupata pesa, kuwa na imani kwamba kupokea pesa kutoka kwa mtu usiyemjua au mtu mwenye nia mbaya na wewe ni kikwazo kikubwa cha maendeleo kwa sababu, karibu kila mtu unayekutana naye ni Shetani. Shetani ni mtu yoyote mwenye nia mbaya na wewe. Hivyo, kama uliwahi kuambiwa kwamba kupokea pesa kutoka kwa mtu usiyemjua ni kitu kibaya futa imani hiyo. Utaachaje kupokea pesa kutoka kwa mtu usiyemjua wakati kila siku unamwomba Mungu akusaidie, na Mungu hutenda kazi zake pale tunapojisahau? La sivyo hutapata pesa unayotamani kupata katika maisha yako, na kamwe hutawaamini watu. Zaka huondoa laana ya mapato. Toa zaka kununua pepo uliyopewa na Mungu.

~ Enock Maregesi

Enock Maregesi Curse Of Income Development Dunia Faith Globalization God Imani Laana Ya Mapato Life Maendeleo Maisha Malice Mamilioni Ya Watu Millions Of People Money Mtu Usiyemjua Mungu Nia Mbaya Paradise Pepo Pesa Satan Shetani Tithe Unanimous Person Utandawazi World Zaka
  • Classy Quote

    ClassyQuote has been providing 500000+ famous quotes from 40000+ popular authors to our worldwide community.

  • Other Pages

    • About Us
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    • Terms of Use
  • Our Products

    • Chrome Extention
    • Microsoft Edge Add-on
  • Follow Us

    • Facebook
    • Instagram
Copyright © 2025 ClassyQuote. All rights reserved.